Ni alfajiri kabisa kama saa 12 hivi watu wengine wakiwa ndio wanaamka na wengine wakienda kulala na kupata mshtuko wa kuondokewa na kipenzi chao kwenye tasnia ya filamu hapa bongo Steven Kanumba nyumbani kwake Sinza Vatcan. Chazo kinasema Kanumba alitoka kuoga na kumkuta Lulu ambaye inasemekana ni wapenzi akiongea na simu ndipo hapo ugomvi ulipoanzia mpaka kanumba kujikuta akidondokea kisogo na kutokwa na damu nyingi. Kwa sasa msanii wa kike Lulu anashikiliwana police kwa maelezo zaidi
Watu wakiwa hawaamini kilichotokea 
Msanii Shilole akiwa hajielewi kabisa akiingia nyumbani kwa Marehemu
 Rafiki mkubwa wa marehemu anaitwa Tito yeye ndio alikuwa na mwili wa marehemu hadi hosp ya Mwimbili  
Msanii Johari akiwa kwenye huzuni kabisa akifanya mahojiano ya TV
Kijana huyu yeye alipopata habari pale pale alianguka chini
H.Baba akiwasili nyumbani kwa Marehe Steven Kanumba
 Steve Nyerere akiwasili nyumbani kwa marehemu akiwa kwenye majonzi mengi
Swahiba mkubwa wa Kanumba Ray akiwa mwenye huzuni nyingi  





dahh kaka mungu ailaze mahalipema peponi ameen
ReplyDelete