- Conversation started today
- Jackline Wolper
Naomba nisaidie, niko nyumban and sijatoka bado kuna kaz naifanya kwenye computer, kazi ya ofisini. Umeme Umeniishia naomba niazime 20,000 ninunue then baadae nikitoka nakurudishia. - Jackline Wolper
Baadae nakutumia, kuna kazi nikiimaliza ndo ntatoka, naomba nitumie bas sasa ivi Pablo - Pablo Junior Calter I
poa nakutumia
Facebook wapo watu wengi sana wenye hii tabia ambayo sio nzuri kwakweli wasanii wetu kila siku wana lalamika kuwa majina yao yanatumiwa vibaya jambo ambalo sio jema guys kwa wewe mwenye huu mchezo nakushauri uache maana iko siku utagundulika tu "ZA MWIZI NI AROBAINI".
How to Enjoy the December Holidays, on a budget.
-
*"There is no reason for you to miss out on the #VacayMood posts, just
because your travel budget is limited!"*
December is almost here and we ...
2 years ago
No comments:
Post a Comment