Social Icons

Saturday, October 12, 2013

MFAHAMU JACKLINE WOLPER FEKI ANAEWATAPELI WATU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII

kumekuwa na wimbi kubwa la matapeli kwenye mitandao ya kijamii hususan FACEBOOK, TWITTER, BBM na mingine mingi. Jana katika pita pita zangu kwenye mtanfao wa Facebook nilipokea ujumbe ukionesha Jackline Wolper anaomba urafiki nami bila kusita nika confirm obi lake. Leo nilipoingia inbox yangu ya facebook nilikuta ujumbe huu.


  • Conversation started today
  • Jackline Wolper
    Jackline Wolper

    Hello, sorry naweza kukusumbua kitu nw?
  • Jackline Wolper
    Jackline Wolper

    Naomba nisaidie, niko nyumban and sijatoka bado kuna kaz naifanya kwenye computer, kazi ya ofisini. Umeme Umeniishia naomba niazime 20,000 ninunue then baadae nikitoka nakurudishia.
  • Pablo Junior Calter I
    Pablo Junior Calter I

    ohky haina tatizo sasa hizo pesa nitakupatiaje ama una tigopesa?
  • Jackline Wolper
    Jackline Wolper

    0712394346, Jina litokee jackline massawe
  • Pablo Junior Calter I
    Pablo Junior Calter I

    sawa wng so utanirudishia lini
  • Jackline Wolper
    Jackline Wolper

    Baadae nakutumia, kuna kazi nikiimaliza ndo ntatoka, naomba nitumie bas sasa ivi Pablo
  • Pablo Junior Calter I
    Pablo Junior Calter I


    poa nakutumia

    na hii ni picha ya chat tuliyofanya

    chat yangu na jackline wolper feki
     
    Facebook wapo watu wengi sana wenye hii tabia ambayo sio nzuri kwakweli wasanii wetu kila siku wana lalamika kuwa majina yao yanatumiwa vibaya jambo ambalo sio jema guys kwa wewe mwenye huu mchezo nakushauri uache maana iko siku utagundulika tu "ZA MWIZI NI AROBAINI".


    fungua hapa kuangalia hio account fake ya Jackline Wolper

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."