Social Icons

Saturday, July 14, 2012

Baada ya wezi kumvamia Wema Sepetu sasa aamua kumuiga mpenzi wake wa zamani Diamond kwa hili


                                                                       WEMA SEPETU
Pamoja na wajanja kuvamia nyumbani kwake kwa nia ya kumwibia vitu vyake vya thamani juzi kati na baadaye kushindwa kutimiza adhma yao, Wema Sepetu is here once again kuwa-prove wrong.
Kwa taarifa yako Diva huyu toka Bongo movies aitwaye Wema Abraham Sepetu baada ya ku-launch movie yake ya superstar kwa kumdondosha Omotola toka Nollywood industry ya Nigeria at Kempinski na baadaye kufanya family party pale Girafe Hotel, yuko tayari kuvunja bank kwa ajili ya kuagiza mkoko mpya aina ya Toyota Prado.
Gari hiyo aina ya Prado itakayo gharimu kiasi cha hela ya Tanzania million sitini mpaka kufika hapa na mambo mengine yote kama usafirishaji na gharama za ushuru wote husika, hiyo itakuwa inakamilisha gari yake ya tatu baada ya ile Mark X na Harrier.Ndiga hii anayotaka kununua Wema Sepetu ni kama ile ambayo mpenzi wake wa zamani,Diamond amenunua hivi karibuni.

 HII NDO PRADO YA DIAMOND AMBAYO WEMA ANATAKA KUNUNUA KAMA HIYO
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."