Social Icons

Friday, September 2, 2016

FOUNDER WA FACEBOOK MARK ZUCKERBERG AENDA KENYA KUJIFUNZA KUHUSU MOBILE MONEY.

Founder/CEO was Facebook, Mark Zuckerberg anasafiri kimya kimya na sass yup Kenya kwa ajilI ya kujifunza kuhusu mobile money.
I dado kubwa sana ya watu Kenya wanatumia Internet kupitia simuzap na anampango wa kuwa-connect zaidi watu.
Mark Zuckerberg ::“Just landed in Nairobi! I’m here to meet withentrepreneurs and developers, and to learn about mobile money – where Kenya is the world leader,” 
 Mark Zuckerberg akila ugali na Samaki akiwa na serikali ya Kenya.


Mark Zuckerberg akitalii akiwa Kenya.


Kwa information zaidi soma Forbes Africa 
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."