Social Icons

Friday, September 2, 2016

MTN yawatema mastaa wa Nigeria kuwa mabalozi wa mtandao huo

Mtandao wa simu wa MTN umewamwaga wasanii wakubwa wa Nigeria akiwemo Don Jazzy, Tiwa Savage, Davido kuwa mabalozi wa mtandao huo na kutangaza majina ya wasanii wengine watakaoshika nafasi hizo.
mtn_building
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mtandao huo kwa vyombo vya habari imetangaza majina ya wasanii wapya ambao watakuwa mabalozi wa mtandao huo kwa mwaka 2016/17.
“Music ambassadors for 2016-2017 are: Praiz (Praise Adejo), Iyanya (Iyanya Mbuk), Chidinma(Chidinma Ekile), Falz (Folarin Falana), Tekno Miles (Augustine Kelechi), Skales (Raoul Njeng-Njeng), Saka, (Hafiz Oyetoro), Nedu (Steve Onu), Osuofia (NkemOwoh),” imesema taarifa hiyo.
Naye Mkurugenzi wa mtandao huo nchini humo, Amina Oyagbola amesema, “MTN remains proud to be associated with the growth and development of the careers of all our ambassadors, past and present.”
“We specially thank all our former ambassadors for their immense contributions to building our brand and also making us the network of choice in Nigeria,” ameongeza.
“We will definitely continue to maintain the strong and mutually beneficial relationship with them through the monetisation of their content on all our digital platforms – MTN Music+, CRBT and VAS.”
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."