Social Icons

Thursday, May 10, 2012

MJUKUU WA LUSIFA NAE KAJIUNGA NA FREE MASON?



Pray god kweka jina la stage. Baghdad ni msanii alieeanza mziki ki mazabe sana na kuonekana kupata bahati ya kupewa saport ya ghafla mara baada ya kupewa nafasi ya kuonyesha kipaji chake mwishoni mwa tamashaa la kutoa nafasi kwa vijana wanaochipukia kwenye mziki wa hip to hip hop ambalo lilizuriwa na wasanii wakubwa wa ndani na nje ya nchi kama fid q, langa, Saigon, na wasanii waliotoka nje ya nchi ni gnl zamba, na msanii kutoka nchini nijeria ambae jina lake halikuweza kupatikana na miongoni mwa waan dishi habari walioweza kuwepo kwenye tamasha hilo ni pamoja na fatma hasan, a.k.a fetty, ruben ndege a.k.a ncha kali ambae ni production manager wa clouds fm. Na kati ya maproducer wakongwe walionekana kuvutiwa na kipaji chake ni producer mkongwe ali baucha ambae aliweza kutoa ma mc wengi wakubwaa wa hip hop Tanzania kama fid q,rado, chidi benz, na wengine wengi. 


Na ndipo kukutanishwa na manyeko na kufanya ngoma yakie ya kwanza iliyoitwa hip hop imesimaama na kuweza kumfanya kuweza kujizolea mashabiki kibao kwa kuwa aliiachia siku moja baada ya kutolewa kwenye shindano la freestyl mc shujaa, ya mwaka 2009  iliyokuwa inaendeshwa na fetty chini ya kipindi cha bongo flavor.  Naukuaji wa mziki wake umekuwa wa ajabu ajabu kutokana kuwa mc wa kwanza Tanzania kufanikiwa kuwa na mashabiki wengi, kupiga shows nyingi kubwa, kufanya intaviews nyingi, kupewa promo na radio zote Tanzania bila kumbania ingawa mpaka alipofikia hana na hajawahi kuwa na manager wa aina yoyote na kila sehemu huwa anafanikiwa kufanya kazi bure na kujikuta wale wanaomfanyia kazi ndio kugaramika. Mfano baucha aliondoka na ngoma 5 na hakudaiwa hata shilingi 100 licha ya kutokuwa na makubaliano yoyote ya kusighn na studio ya baucha! Amefanya ngoma mbili ambazo zimefanya vizuri sana ndani na nje ya nchi full ng’ae ng’ae bila kutoa hat ash 50 kwa producer wa d fatality na hata baadae walipokuja kukorofishana aliweza kuja kufanya ngoma ya ohh mama na climax bibo, na wakati hawakuwa wakiongea na producer aliefanya mix bila malipo wakati messen alikiri ya kuwa ufanyaji kazi wake umebadilkika kwa sasa pesa mbele kama tai. Na kwa sasa anakabiliwa na kesi kubwa ya kutumia chater ya kundi alilokuwa akilitumikia mwanzoni mwa mwaka 2010 kabla ya kujitoa mwanzoni mwaka huu, na chaa ajabu uliwahi kusikia wapi mtu aliyepeleka kesi mahakamani kama mdai alietambulika kwa jina lililopo kwenye file la kesi dikison kuomba suluu baada ya kuhairishwa kesi mpaka tar 3 mwezi may. Hivyo hali yake ya kuwa anaogopewa na watui wengi lila sector. Inaweza kudhihirisha ya kuwa yeye ni muhusika wa familia ya freemason, kwa kuwa hajawahi kufanya shoe hata moja asiwe kati ya wasanii watatu bora kwenye show hiyo, na lazima ataonyesha vidole, au ishara yoyote ya ajabu. Baghdada, a.k.a notorious wa bongo, kwa sasa anatumia jibu la p.g kweka au mjukuu wa lusifer.


 Kuhusiana na mziki
Video yangu ya hip hop imesimama kunapicha ya fuvu, ukicheki kamba 2kamba kuna ishara za free mason, ukpitia baadhi ya lyn zake, mfano kwenye hip hap imesimama
     “ marehemu ninaeish kiufupi mi nmzmu
     Tanzania nw brnda  dar n bidhaa hadimu
      sijasomea majungu nawalasiujui umbea
     doubt nilipo sasa usiulize nilipotokea”
     kwenyengoma yake ya ng’aeng’ae alisema “nawauzunisha waliojipaga kuelekea moton nawa furaisha wenye tv yakuona pepon kwenye ooh mama  “yee ni zombie joo mzimu wamrehem huwa hauzirai” kwenye kamba 2 kamba aliziirisha zahili kuwa anatoa kafara kwa kunywa damu zawatu kwa kusema “damu za dadazao zinatolewa kafara ghetto” licha ya ngoma mpaya  ambayo ukisikiliza lyn moja baada ya moja  kumuusisha na freemason kwa kukiri kuwa yeye ni mjukuu wa Lucifer jina la kiongozi wa free mason!  Na moja ya line zake anasema was bon freemason na ubongo alipewa na lusifer, been haso kutafuta damu awe satisfai. Na ukiisikiliza mwishoni mwa ngoma hii utasikia akisema diss line kwa dimond platinum na huwezi amini kwa msanii mkubwa kama diamond ambae ukionekana kugusa hata kiatu chako kwa soli yako haoni shida kukufungulia kesi ila im ekuwaje kuwa kimya kwa kauli hiii kutokuifanyia kazi!






TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."