Social Icons

Wednesday, June 6, 2012

CASE YA ELIZABETH 'LULU' MICHAEL YAENDELEA KUPIGWA DANADANA...!!!

Lulu (katikati ya askari, mbele) akipelekwa kizimbani leo.
---
Kesi ya mauaji inayomkabili msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth 'Lulu' Michael, jana ilifika tena, Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu Jijini Dar es Salaam ambapo upande wa mashitaka ulisema upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika hivyo kesi hiyo kuahirishwa mpaka Juni 18 mwaka huu.
Source: GPL
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."