Social Icons

Friday, June 8, 2012

DJ FETTY TO ROCK THE BIG BROTHER STARGAME PARTY THIS WEEKEND...!!!

Dj wa kwanza wa kike nchini Tanzania Fatma Hassan aka Dj Fetty wa Clouds Fm amepewa heshima ya kuwa Dj wa kwanza wa kike kutoka Afrika Mashariki kutumbuiza kwenye mashindano ya Big Brother Africa.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook Fetty amesema, “Juma mosi hii na jumapili nitakua nikispin ndani ya Jumba la BBA STARGAME, nitume kwa kuniandikia playlist itakayo wapagawisha…na shinda very nice cape ya big brother na high quality Tshirt kutoka CloudsFm…legoooooo.”

Fetty ambaye kwa muda alikuwa amepumzika shughuli za udj na kuendelea na utangazaji wa kawaida, amesema imemlazimu kujifua tena ili kuhakikisha kuwa ‘haangushi maembe’ (kumix vibaya nyimbo) wakati atakapokuwa akipiga ngoma.
Amesema mwaliko huo ameupata katikati ya mwezi May na tangu hapo amekuwa akijikumbushia ujuzi kwenye ‘wheels of steel’ kwakuwa hiyo ni nafasi kubwa inayohitaji maandalizi ya kutosha.
Mwaka jana Dj wa kike kutoka kituo cha radio cha YFM cha Ghana Nana Kessewa Adu aka DJ Kess alialikwa pia kuburudisha kwenye Big Brother Amplified.
Hiyo si mara ya kwanza kwa Dj wa Clouds FM kupata mwaliko huo. Mwaka jana Dj Steve B naye alipewa fursa hiyo ya kuonesha ujuzi wa mikono yake kwenye 1 and 2!

---
Two weeks after Bongo Flava artiste Diamond thrilled fans on reality TV show BBA, another Tanzanian entertainer DJ Fetty will this weekend entertain housemates at Big Brother House.

Apart from the Saturday Night party, she will also perform at the nomination/eviction party on Sunday.

DJ Fetty who plies her trade with local radio station Clouds Fm in Dar-es-Salaam is considered as one of the best female DJs in the country.

She first rose to prominence while presenting a popular afternoon show (Dr Beat) before she joined a disk jockeying group Nyuki DJs in a show at the time known as Saturday night live.

DKB, Zainab leave BBA
Johannesburg.  After two successive seasons that saw Hannington in 2010 and lotus in 2011 being evicted from the BBA house because of violence, this year’s contestants became the latest victim.

Ghana’s DKB and Sierra Leone’s Zainab became the latest victims to face Biggie’s wrath as they failed to desist from violence which is against BBA rules.

The sending off of the contestants brought the number of housemates to seven in five days after Esperanza and Seydou decided to back out of the Stargame contest. 

Source: Bongo5 & The Citizen
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."