Social Icons

Thursday, June 7, 2012

CHAZ BABA ATAKA PENZI KWA NGUVU

PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ juzikati aliwashangaza watu kufuatia kumng’ang’ania mwigizaji wa sinema za Kibongo, Zamda Salim ‘Zam Minaj’ ili aondoke naye kuelekea kwake.
Tukio hilo la kutaka kwenda kupewa penzi la lazima, lilichukua nafasi ndani ya Ukumbi wa New Maisha Club, Dar usiku wa kuamkia Mei 29, mwaka huu.
Mwanamuziki huyo alimfuata Zamda na kumwambia kwamba siku nyingi amekuwa akimtongoza na kumpa ahadi hewa kwa hiyo siku hiyo ilikuwa arobaini yake.
“Leo sikubaliani na ‘sound’ zako, lazima tuondoke wote, tena sasa hivi,” alisikika akisema Chaz huku akimvuta demu huyo.
Hata hivyo, Zamda aliweza kuponyoka kutoka mikononi mwa Chaz na kutokomea kusikojulikana.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."