Social Icons

Monday, April 15, 2013

ANGALIA HAPA TAMTHILIA: SIRI YA MTUNGI SEHEMU YA 13

Katika onyesho la mwisho la msimu wa kwanza, kisasi ni kitamu kwa Farida pale anapotonywa habari nyeti toka kwa fundi cherehani, Furaha.

Wakati Mwanaidi anamkabili mkwewe kuhusiana na picha chafu alizompiga Lulu, Cheche anajitetea kwa nguvu kuwa hana kosa.

Wakati fulani Duma anakumbana na Nusura mja mzito akielekea kliniki. Hawezi kuvumilia kumwona akiwa na Mzee Kizito.

Kipindi hiki, Nusura anapata habari ambazo zitayabadilisha maisha yake milele. Na kule kwenye studio ya picha, umbo kutoka nyakati zilizopita, linaibuka kutokea kusikojulikana na kuutikisa ulimwengu wa Cheche.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."