Social Icons

Thursday, April 25, 2013

VANESSA MDEE AGOMBEWA KUOMBWA KOLABO

Stori: Centre Spread
STAA wa Songi la Closer, Vanessa Mdee amefunguka kuwa mara baada ya kuachia wimbo huo ambao unafanya vizuri kwa sasa, wasanii wengi wamekuwa wakimuomba kumshirikisha katika nyimbo zao.
Centre Spred imetonywa kuwa, mwanamuziki huyo ambaye anasimamiwa na Kampuni ya B Heatz amekuwa akipokea maombi mengi lakini anauachia uongozi wake ufanyie kazi maombi hayo kwa umakini.
“Uongozi wa B-Hitz chini yake Hermy B ndiyo wanaoelewa muziki wangu na kujua ubora wa muziki hivyo wao ndiyo wananipa mwongozo lakini kiukweli nashukuru Mungu maombi ninayopata ni mengi,” alisema Vanessa.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."