Social Icons

Friday, April 26, 2013

MR NICE ATANGAZA NDOA KENYA

Stori:Mwandishi Wetu
Mfalme wa miondoko ya TAKEU, Lucas Nice Mkenda ‘Mr Nice’ hivi karibuni ametangaza azma yake ya kuoa huku akieleza kuwa, mkewe mtarajiwa atakuwa ni Mkenya.
Akifanyiwa mahojiano na Kituo cha Televisheni cha  Kenya, Citzen TV, Mr Nice alisema miongoni mwa mambo yaliyomfanya aende nchini humo ni pamoja na hilo la kuoa.
“Suala la kuoa ni moja kati ya mambo yaliyonileta hapa, mke atapatikana na nitawaambia, kwa sasa hayo tumuachie Mungu,”  alisema Mr Nice
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."