Social Icons

Thursday, April 25, 2013

RECHO, SAGUDA WAPEANA MALOVEE HADHARANI

Stori:Mwandishi Wetu
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rechael Haule ‘Recho’ amenaswa akipeana malovee hadharani na jamaa’ke anayejulikana kwa jina la Saguda George.
Tukio hilo lililoibua minong’ono lilitokea juzikati katika Viwanja vya Leaders jijini Dar wakati staa huyo na wenzake walipokwenda kula raha zao ambapo ilidaiwa kuwa kilevi kilipofika mahali pake, ndipo wawili hao walipoanza kubusiana hadharani.
“Mh! Hawa nao ifike wakati waoane kama wenzao kina Kupa, wamedumu katika uhusiano kwa muda mrefu sasa, kwa nini waendelee kujiibaiba hivi?” alihoji msanii mkubwa wa filamu aliyeomba hifadhi ya jina lake.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."