Social Icons

Thursday, April 25, 2013

NATASHA: NDOA YANGU ITAKUWA BEI CHEE


Stori:Gladness Mallya
MKONGWE wa filamu Bongo ambaye pia ni mtangazaji, Suzan Lewis ‘Natasha’ amefunguka kuwa ndoa yake itakuwa simpo kwani hataki mbwembwe nyingi kama ilivyo kwa wengine.
Akizungumza hivi karibuni katika kituo kimoja cha runinga, Natasha alisema ndoa yake itakuwa ya kawaida ‘simpo’ na zaidi atahakikisha waalikwa wanapata msosi na  kunywa vizuri na asiwepo mtu wa kulalamika.
Msanii huyo alizidi kutiririka kuwa, alikuwa akitamani kuolewa sana kwani hakuwahi kupitia hatua hiyo hivyo muda umefika wa kutimiza ahadi ya Mungu kwa binadamu kuzaliana na kuongezeka japokuwa watu wamekuwa wakisema mengi  na amewaomba msamaha wote waliokwazwa na uamuzi wake wa kuolewa.
“Nilikaa na familia yangu ikakubali, mjukuu wangu Junior nilipomwambia kuhusu ishu hiyo hakuwa na kipingamizi hivyo siku si nyingi nitaolewa,” alisema Natasha.
a ndoa alikubali na nikaamua kuolewa lakini angekataa, nisingeolewa kwa sababu huyu ndiyo kila kitu kwangu,” alisema Natasha.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."