Social Icons

Monday, April 15, 2013

MDADA AMTOKEA SUPERSTAR DIAMOND LIVE FACEBOOK.

 

Baada ya kuandika status yenye utata mrembo Hilda leo kaja kivingine na kuandika kifuatacho:

"Am so sorry... some time ukiamka na hangover za hasira halafu ukakutana na kitu kinachokera, busara mara nyingi hutoweka na ujinga huchukua nafasi kwenye ubongo... Am so sorry kwa aina ya lugha iliyotumika... Mungu husamehe pamoja na maovu ya dunia hii... Hata Hitler kama alitubu dhambi zake kabla hajafa naamini alisamehewa licha ya kuua mamilioni ya wanadamu... Aliua Wayahudi zaidi ya milioni tano... So jifunze kusamehe kwa kila jambo... Love u all... Thanks."
Wonders shall never end!!!!!
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."