Social Icons

Wednesday, April 24, 2013

AUNT: NDOA YANGU HAIVUNJIKI LEO WALA KESHO

MWANADADA anayetamba katika filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa ndoa yake haiwezi kuvunjika leo wala kesho
kwani amejipanga kikamilifu.
Aunt aliyasema hayo kwa madai kuwa watu wengi wamekuwa wakitaka kushuhudia ndoa yake na mumewe, Sunday Demonte
ikivunjika lakini yeye ana uhakika kuwa haitavunjika milele kwani maisha anayoishi sasa siyo sawa na yale ya zamani.
“Naweza kusema kuwa ndoa yangu itadumu milele na haivunjiki leo wala kesho kama wengi wanavyosema, ninajua ni kitu gani
ninachokifanya, nimebadili mwenendo wa maisha yangu, pia ninajiheshimu kama mke wa mtu,” alisema Aunt.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."