Social Icons

Thursday, May 9, 2013

KAJALA AAHIDI KUPIGA MZIGO MKALI

Na Imelda Mtema
BAADA ya kurejea uraiani, mwigizaji, Kajala Masanja amesema anawashukuru wote waliomuombea hadi akachomoka kwenye mikono ya sheria na kuahidi mashabiki kuwa zawadi yao itakuwa ni kuzalisha kazi bora.
Kajala Masanja.
“Najua wengi wanasubiri waone nitafanya nini katika kazi zangu za uigizaji, umuhimu wa filamu kwangu ni mkubwa sana na ninawahakikishia kuwa nitafanya mambo makubwa, wapenzi wa filamu wananikubali ni wakati wa kuwapa zawadi kwa filamu bora nitakayoigiza hivi karibuni,” alisema Kajala.
Kajala ameweka plain kuwa kwa sasa anamilikiwa na meneja wake aitwaye John Lister anayesimamia kila kitu kinachohusu sanaa yake na shughuli nyingine kwa jumla.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."