PICHA 3 ZINAZOONESHA MUONEKANO MPYA WA VIDEO QUEEN AGNES
Baada ya kuwa mbali na macho ya watanzania kwa muda sasa.....baada ya Video yake ya utupu ilivyovuja mitandaoni....!! ameonekana kwenye picha izi zenye utata kidogo....akiwa mwenye afya tele na mwenye furaha sana...... akizungumza na This is Diamond alisema '' Kwa sasa nipo nchini kwa muda tu lakini nina biashara zangu ambazo nafanyia nje ya nchi, Biashara za kina dada kama Viatu n etc za wanawake.....Alizidikufunguka zaidi akimshukuru mungu kwa kumfikisha alipo mpaka now na soon nakaribia kufungua saloon yake na boutique maeneo ya Mikocheni,Ingawa sintapenda kutaja lini lakini watu wategeme nguvu za Ujasiriamali kutoka kwangu....''
Royal Blog Inapenda kumtakia Maisha Mema Agnes na Baraka tele...!
Your time is almost up.
-
Hello dear,
There is no reason to relax at all but you ԁon’t neeԁ to panic and have to
reaԁ my message carefully.
It is reallẏ important, moreoѵer, it’s ...
No comments:
Post a Comment