Social Icons

Tuesday, May 14, 2013

WANAFUNZI WAVAMIWA NA MASHETANI, WAANGUKA HOVYO

Mmoja wa wanafunzi aliyepandisha mashetani akiwa amelala baada ya kuanguka.
Mmoja wa wanafunzi aliyepandisha mashetani akiombewa.
Baadhi ya wanafunzi walioanguka.
Umati wa wazazi waliofika kushuhudia tukio hilo na kuwachukua watoto wao.
Baadhi ya viongozi wa eneo hilo pamoja na diwani wao wakielezwa na mwalimu jinsi tukio hilo lilivyoanza.
WANAFUNZI wa shule ya Sekondari Manzese iliyopo Manzese Uzuri, jijini Dar es Salaam wamevamiwa na mashetani na kuanguka hovyo darasani huku wakipiga kelele na kuongea maneno yasiyoeleweka na kusababisha hofu kutanda maeneo hayo.
Tukio hilo limetokea kuanzia saa nne asubuhi ambapo alianza mwanafunzi mmoja kupiga kelele na kuanguka wakati wakiendelea na masomo ambapo alitolewa nje ya darasa lakini cha kushangaza waliendelea kuanguka wengine wengi huku wakipiga kelele na kupigana kama vichaa.
(Picha/Stori: Gladness Mallya/ GPL)
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

 

for more information call us

+255718953088
-------or-------
+255784953088
*email*
innocentfabian@gmail.com
THANKS

quote of the day

"Don't criticize me simply because I am different. Understand me, and you will most likely appreciate my difference and criticize your variance."